Kumbukumbu la Blogu

Alhamisi, 18 Oktoba 2018

MAASAI YOUTH NETWORK

*RATIBA YA MAASAI YOUTH NETWORK*
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

1__ ```kila siku kuanzia asbuhi hadi jioni ni muda wa wako wa kuposti vichekesho, ushabiki wa mpira na wa siasa  utani,vituko nyimbo mbalimbali n.k.

2__ Kila siku kuanzia saa moja usiku na kuendelea ni muda wako wa kuchangia mada mbali mbali zitakazo wekwa mezani

3__ Ndugu mtazamaji mwenzangu  kila siku kwenye kipindi cha mada hairuhusiwi mtu yeyote kuposti kitu chochote kinyume na mada iliopo mezani, ukienda kinyume na sheria tuliojiwekea simba atakutoa ukae nche ya group kwa siku mbili hiyo ndio adhabu ya kila mtu atakae vunja sharia ya group

4__ Ni ruksa kupost mada ukiona mada hakijawekwa mezani na mda imefika lakini ukiona mada ipo mezani na unayo nyingine iache iwe ya siku nyingine

5__ Lazima sio ombi kwa kila mgeni atakae ingia humu ajitambulishe na atume picha zake mbili akiwa amevaa kimaasai.

6__ kila mwisho wa mwezi tarehe 30 ni siku ya kutambulishana yaani siku hiyo unajitambulisha upya ili kama kuna wageni wameingia humu waweze kukujua unatuma picha zako mbili na majina na sehemu unaoishi maana kuna watu mpaka sasa siwajui kabisa yaani

7__ utani ni ruksa ila msipitilize kutania mtu mpaka anataka kuleft au kukasirika muwe na huruma 😂😂

8__ hairuhusiwi matusi yeyote humu wala haturuhusu picha/video mbaya  yaani vitu vyote ambavyo hazina maadili

9__ tunapokea maoni kuhusu hii RATIBA

10__ jamani wapendwa tunawapenda sanaa hivyo tuwe tunawakaribisha wageni maana huwa kuna wa wageni wakiingia hawapati Ammani kama hawajakaribishwa  mpaka wanaleft```

Asanteni by *utawala*

TATIZO SIO MTAJI NI WEWE TU

Hawa ni wale wenye shauku kubwa moyoni mwao kufanya jambo la pekee na hawafanyi lakini ukiwauliza watakupangia sababu nyingi za kuhalalisha ...